Posts

UTUNGAJI

Image
Katika somo hili tutaangalia vipengele vifuatavyo, Maana ya utungaji Makusudio ya kutoa matangazo Mambo ya kuzingatia wakayi ya kutoa tangozo Sehem kuu za tangazo MAANA YA TANGAZO Tangazo ni habari fupi inayosomwa kwa mdomo au iliyoandikwa kwa lengo la kuwafikishia walengwa ujumbe Fulani.  Matangazo hutokea kayika magazeti, redio, television, mabango, kuta za nyumba na kadhalika.  MAKUSUDIO YA KUTOA MATANGAZO Kwa ajili ya kutoa taarifa kam vile taarifa za mikutano na sherehe Kuudha bidhaa au kutoa huduma.  Matangazo yanayohusu utoaji wa taarifa ni kama vile matangazo ya mukutano, vikao vya harusi, warsha, makongamano, mialiko kwenye nyumba za ibada na kadhalika. Matangazo yanayohusu kuuza bidhaa au huduma ni kama vile matangazo yahusuyo zabuni, usafiri wa ndege na kadhalika.  MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA TANGAZO Tangazo liandikwe kwa namna inayojenga shauku ya kupata kile kinachotangazwa Tangazo liandikwe kwa namna inayovutia macho Tangazo liandikwe kwa namna ya kumfan...

Fonetiki

Image
  DIBAJI Katika mada hii tutajadili maana ya fonetikipamoja na  matawi ya fonetiki. FONETIKI Ni tawi la isimu ambalo linachunguza na kufafanua sauti za lugha ya mwanaadamu. kwa kawaida fonetiki huchunguza sauti zote za lugha ya kusemwa na binanaadamu. MATAWI YA FONETIKI kuna matawi tofauti ya fonetiki, nayo ni; Fonetiki matamshi Fonetiki akustiki Fonetiki masikizi Fonetiki tiba matamshi Katika mada yetu hii tutazungumzia tawi moja la fonetiki ambalo ni fonetiki Matamshi. Fonetiki matamshi    ni tawi la fonetiki ambalo huchunguza au inashughulikia matamshi ambayo mwanaadamu anayotoa. Fonetiki  matamshi hususan huchunguza sauti za lugha ya mwanaadamu.Tawi hili hubainisha sauti za lugha kwa kuchunguza harakati  za ala sauti zinazo husika. kwa vile fonetiki matamshi huchunguza ala sauti za lugha kwa hivyo tunajadili ala sauti mbalimbali za tugha ya mwanaadamu.   Aala sauti za lugha Ala sauti ni viungo vya mwili vya mwanaadamu vinavyotumika kumuweza binaad...